President’s Office, Constitution, Legal Affairs, Public Service and Good Governance
THE LAW SCHOOL OF ZANZIBAR
Menu
Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe Zubeir Ali Maulid ameushauri uongozi wa Skuli ya Sheria Zanzibar kushirikiana na Tume ya Kurekebisha Sheria ili kusaidia kuwa na Sheria bora zinazotekelezeka.