KIKAO CHA MAHKMA NA MAWAKILI WA SERIKALI NA WAKUJITEGEMEA
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Mawakili wa Serikali pamoja wa kujitegemea kuwa na mashirikiano Mahkama ili kuweza kutatua changamoto wanazokabiliana nazo kwa lengo la kuhakikisha kuwa haki kwa wananchi zinapatikana bila upendeleo wa aina yeyote. Ameyasema hayo leo wakati alipofungua kikao cha pamoja baina ya Mawakili wa Serikali, Mawakili wa kujitegemea na Mahkama huko Afisi kwake Tunguu …
KIKAO CHA MAHKMA NA MAWAKILI WA SERIKALI NA WAKUJITEGEMEA Read More »