President’s Office, Constitution, Legal Affairs, Public Service and Good Governance

THE LAW SCHOOL OF ZANZIBAR

Jabir Mohamed

KIKAO CHA MAHKMA NA MAWAKILI WA SERIKALI NA WAKUJITEGEMEA

Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Khamis Ramadhan Abdalla amewataka Mawakili wa Serikali pamoja  wa kujitegemea  kuwa na mashirikiano   Mahkama ili kuweza kutatua changamoto   wanazokabiliana nazo kwa  lengo la  kuhakikisha kuwa haki kwa wananchi zinapatikana bila upendeleo wa aina yeyote. Ameyasema hayo leo wakati alipofungua kikao cha pamoja baina ya  Mawakili wa Serikali, Mawakili wa kujitegemea na Mahkama  huko Afisi kwake  Tunguu …

KIKAO CHA MAHKMA NA MAWAKILI WA SERIKALI NA WAKUJITEGEMEA Read More »

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa agizo la kuanza kazi Mahkama ya Rushwa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameagiza taasisi zinazo husika na sheria kukamilisha mchakato wa utungaji wa sheria ili kuanza kazi kwa Mahkama Maalum ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi kwa mwaka huu. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo katika kilele cha Maadhimisho ya siku ya Sheria Zanzibar katika viwanja …

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa agizo la kuanza kazi Mahkama ya Rushwa Zanzibar Read More »

CALL FOR ONLINE APPLICATIONS FOR THE JANUARY INTAKE FOR ADVOCATES & VAKILS 2024

The Law School of Zanzibar (LSZ) which was established under the Law School of Zanzibar Act No. 13 of 2019, calls for online applications to join the Law School of Zanzibar for a one-year practical legal training for persons wishing to train to be qualified advocates, and for six months practical legal training for persons …

CALL FOR ONLINE APPLICATIONS FOR THE JANUARY INTAKE FOR ADVOCATES & VAKILS 2024 Read More »

CALL FOR ONLINE APPLICATION FOR THE JANUARY INTAKE FOR THE LAW SCHOOL OF ZANZIBAR

The Law School of Zanzibar (LSZ) which was established under the Law School of Zanzibar Act No. 13 of 2019, calls for online application to join the Law School of Zanzibar for a one-year practical legal training for persons wishing to train to be qualified advocates. The application period will start from 1st of October …

CALL FOR ONLINE APPLICATION FOR THE JANUARY INTAKE FOR THE LAW SCHOOL OF ZANZIBAR Read More »