President’s Office, Constitution, Legal Affairs, Public Service and Good Governance

THE LAW SCHOOL OF ZANZIBAR

admin

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba iwapo jamii itazingatia mambo makubwa matatu likiwemo uadilifu, uaminifu na uwajibikaji basi mafanikio makubwa yatapatikana nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba iwapo jamii itazingatia mambo makubwa matatu likiwemo uadilifu, uaminifu na uwajibikaji basi mafanikio makubwa yatapatikana nchini. Alhaj Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo katika salamu zake alizozitoa mara baada ya Sala ya Ijumaa huko katika Masjid Masoud uliopo Kiwengwa Kumbaurembo, …

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba iwapo jamii itazingatia mambo makubwa matatu likiwemo uadilifu, uaminifu na uwajibikaji basi mafanikio makubwa yatapatikana nchini. Read More »

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Sheria Jijini Dodoma.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Dodoma,baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Dodoma kuhudhuria Uzinduzi wa Wiki ya Sheria.Inayotarajiwa kufanyika kesho 23-1-2022 Jijini Dodoma. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi …

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Sheria Jijini Dodoma. Read More »

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza matumaini yake kuwa, iwapo dhana ya Uchumi wa Buluu itaeleweka vyema kutakuwa na nafasi nzuri ya kurekebisha na kuboresha sheria na taratibu za Mahakama

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa kipazia kuashiria kuizindua Nembo ya Mahkama Kuu Tanzania wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Wiki ya Sheria Tanzania iliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma leo 23-1-2022 akiwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof.Ibrahim Hamis Juma. RAIS wa Zanzibar na …

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza matumaini yake kuwa, iwapo dhana ya Uchumi wa Buluu itaeleweka vyema kutakuwa na nafasi nzuri ya kurekebisha na kuboresha sheria na taratibu za Mahakama Read More »

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema wakati umefika kwa Zanzibar kuanzisha Kituo kwa ajili ya utatuzi wa migogoro ya kibiashara (arbitration center)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema wakati umefika kwa Zanzibar kuanzisha Kituo kwa ajili ya utatuzi wa migogoro ya kibiashara (arbitration center), ili kwenda sambamba na hatua ya serikali ya kuvutia Wawekezaji katika miradi mikubwa.Dk. Mwinyi amesema hayo katika kilele cha maadhimisho ya siku ya sheria Zanzibar, …

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema wakati umefika kwa Zanzibar kuanzisha Kituo kwa ajili ya utatuzi wa migogoro ya kibiashara (arbitration center) Read More »

Christmas Day

Christmas Day – December 25 On this day, over two billion people (over a third of the world’s population) will celebrate the birth of Christ. Christmas Day celebrates the Nativity of Jesus which according to tradition took place on December 25th 1 BC. December  25th will be a public holiday in most countries around the …

Christmas Day Read More »

Independence Day

Tanzania Independence Day – December 9 Tanzania Independence Day is celebrated on December 9 every year. 2021 marks the 61st year of the country’s independence from Britain, which governed Tanzania till 1961 under the name of Tanganyika. HISTORY OF TANZANIA INDEPENDENCE DAY Tanzania’s independence movement started in 1954 and was led by Julius Nyerere, who co-founded …

Independence Day Read More »

Nyerere Day

Mwalimu Nyerere Day – October 14 Mwalimu Nyerere Day is observed annually on October 14 in Tanzania. It commemorates the passing of Julius Nyerere, former president of Tanzania, on this day in 1999. Fondly remembered as the “father of the nation,” Julius Nyerere was born on April 13, 1922, in Tanganyika’s Mara Region. In December 1962, …

Nyerere Day Read More »

Farmer’s Day

Nane Nane day – August 8 Nane Nane (‘eight eight’ in Swahili) is a public holiday in Tanzania observed on August 8th each year. Also known as Farmers’ Day, this day marks the contribution of farmers to the national economy History of Nane Nane The importance of the agricultural sector in Tanzania is hard to …

Farmer’s Day Read More »